Bibilia Takatifu Swahili Bible APK

Bibilia Takatifu Swahili Bible  Icon
0/5
0 Ratings
Developer
Biblica
Current Version
2.1.1
Date Published
File Size
19.2 MB
Package ID
com.biblica.openkiswahilicontemporarversion
Price
$ 0.00
Downloads
24.2K+
Category
Android Apps
Genre
Books & Reference

APK Version History

Version
2.1.1 (4)
Architecture
arm64-v8a
Release Date
July 16, 2023
Requirement
Android 4.2+
Version
2.1 (3)
Architecture
armeabi-v7a
Release Date
November 09, 2022
Requirement
Android 4.2+
Version
2.1 (3)
Architecture
armeabi-v7a
Release Date
June 04, 2022
Requirement
Android 4.2+
Version
2.1 (3)
Architecture
arm64-v8a
Release Date
June 04, 2022
Requirement
Android 4.2+
Version
2.1 (3)
Architecture
arm64-v8a
Release Date
June 04, 2022
Requirement
Android 4.2+
Version
2.0 (2)
Architecture
arm64-v8a
Release Date
July 04, 2023
Requirement
Android 4.2+
  • Bibilia Takatifu Swahili Bible Screenshot
  • Bibilia Takatifu Swahili Bible Screenshot
  • Bibilia Takatifu Swahili Bible Screenshot
  • Bibilia Takatifu Swahili Bible Screenshot

About Radio FM 90s

Soma Biblia Takatifu kwenye programu yetu ya Biblia isiyolipishwa. Haina matangazo na hutatozwa ada zozote.

Ina vipengele vifuatavyo:
Toleo la Kiingereza la Biblica New International Version na inaweza kusomwa upande kwa upande au mstari kwa mstari.
Teua na uangazie vifungu unavyopenda, andika madokezo na utafute maneno kwenye programu.
Bofya na ushiriki vifungu vya Biblia na marafiki zako.
Inatumia maandishi yanayobadilika ukubwa ili kurahisisha kusoma biblia.

Tumia wengine programu hii ambao wangependa kusoma Biblia Takatifu.
Tathmini na maoni yako yatatusaidia kuendelea kuboresha programu hii kwa maslahi ya watumiaji.
Kwa maoni au maswali, wasiliana nasi kwa njia ya barua pepe kupitia [email protected]
Programu ya Biblia imetengenezwa na kuchapishwa na : Biblica

Je, Biblia ni nini?
Biblia ni rekodi ya kazi ya Mungu ulimwenguni, na kusudi lake kwa viumbe vyote. Biblia iliandikwa zaidi ya karne kumi na sita zilizopita kupitia waandishi zaidi ya arobaini. Ni mkusanyiko wa vitabu 66 vyenye mitindo tofauti, vyote vyenye vinazungumzia kusudi la Mungu kwetu.

Mkusanyiko huu wa vitabu tofauti una mitindo mbalimbali ya kifasihi. Ina masimulizi mengi kuhusu maisha ya watu wema na waovu, inasimulia vita na safari, maisha ya Yesu, na kuanzishwa kwa kanisa. Imeandikwa kupitia masimulizi na mazungumzo, methali na mafumbo, nyimbo na misemo, historia na unabii.
Kwa ujumla, masimulizi ya Biblia hayakuandikwa kama yalivyotokea. Badala yake, yalielezwa tena na tena kutoka kizazi kimoja hadi kingine hatimaye yakaandikwa. Licha ya hayo, mafundisho katika vitabu tofauti yanawiana. Kuna uwiano kwenye Biblia nzima licha ya matukio kutendeka nyakati tofauti.

Hivyo basi, Biblia ni nini? Pamoja na hayo yote, Biblia ni:

Mwongozo wa kuishi maisha kikamilifu. Inatuongoza katika safari ngumu ya maisha. Yaani, katika safari yetu kupitia bahari ya maisha, Biblia ni nanga.

Ina masimulizi mengi ya kuwavutia watoto na watu wazima. Unakumbuka Noah na safina? Koti la Yusufu lenye rangi za kupendeza? Danieli kwenye tundu la simba? Yona na samaki? Mafumbo ya Yesu? Simulizi hizi zinaangazia ushindi na kushindwa kwa watu wa kawaida.

Kimbilio wakati wa dhiki. Wanaoumia, wanaopitia mateso, waliomo gerezani, na wanaoomboleza wanadhihirisha jinsi kuelekea Biblia kuliwapa nguvu wakati wa shida.

Imejaa maarifa kutuhusu. Sisi sio roboti, bali ni viumbe wa Mungu anayetupenda na ana lengo na kusudi kwa ajili ya maisha yetu.

Mwongozo wa maisha ya kila siku. Inatupa mwelekeo, mwongozo na amri kuhusu mienendo yetu, na ina kanuni za kutusaidia katika ulimwengu ambapo mara nyingi uovu unakubalika.

What's New in this version

Feedback Survey added