Audio Bible Swahili offline 3.1.1218 APK
APK Version History
- Version
- 3.1.1299 (1299)
- Architecture
- universal
- Release Date
- September 21, 2023
- Requirement
- Android 7.0+
Download [ 8.4 MB ]
Safe
- Version
- 3.1.1218 (1218)
- Architecture
- universal
- Release Date
- September 18, 2023
- Requirement
- Android 7.0+
Download [ 8.4 MB ]
Safe
- Version
- 3.1.1105 (1105)
- Architecture
- universal
- Release Date
- September 18, 2023
- Requirement
- Android 5.0+
Download [ 8.2 MB ]
Safe
- Version
- 3.1.1072 (1072)
- Architecture
- universal
- Release Date
- September 18, 2023
- Requirement
- Android 4.2+
Download [ 7.7 MB ]
Safe
- Version
- 3.1.1071 (1071)
- Architecture
- universal
- Release Date
- September 18, 2023
- Requirement
- Android 4.2+
Download [ 7.7 MB ]
Safe
About Radio FM 90s
Biblia ni jina la jumla kwa ajili ya vitabu vitakatifu vya dini ya Uyahudi na hasa ya Ukristo. Neno limetokana na lugha ya Kigiriki ambayo ndani yake βιβλία (biblia) ina maana ya "vitabu" ikiwa ni wingi wa βιβλος (biblos). Hii ni kwa sababu Biblia ni mkusanyo wa maandiko mbalimbali yaliyoweza kutungwa kwa muda wa miaka 1000 hivi.
Hivyo Biblia ni tofauti na vitabu vingine kwa sababu iliandikwa na watu mbalimbali ambao hawakuwa pamoja wala hawakuandika kwa wakati mmoja, lakini vitabu vyote vimekusanywa na kuunda kitabu kimoja cha Biblia. Inasadikiwa na Wayahudi na Wakristo kwamba "Biblia ni kitabu kilichoandikwa na watu kwa uwezo wa Mungu".
Kuchagua kitabu kusikiliza:
AGANO LA KALE
AGANO JIPYA
Hivyo Biblia ni tofauti na vitabu vingine kwa sababu iliandikwa na watu mbalimbali ambao hawakuwa pamoja wala hawakuandika kwa wakati mmoja, lakini vitabu vyote vimekusanywa na kuunda kitabu kimoja cha Biblia. Inasadikiwa na Wayahudi na Wakristo kwamba "Biblia ni kitabu kilichoandikwa na watu kwa uwezo wa Mungu".
Kuchagua kitabu kusikiliza:
AGANO LA KALE
AGANO JIPYA